Thursday, 18 May 2017

Wamwendea Yesu kwa kusafishwa (Are you washed in the blood?)

Wamwendea Yesu kwa kusafishwa,
Na kuoshwa kwa damu ya kondoo?
Je, neema yake umemwagiwa?
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
Chorus:
Kuoshwa, kwa damu,
Itutakasayo ya kondoo,
Ziwe safi nguo nyeupe mno,
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?

Wamwandama daima Mkombozi,
Na kuoshwa kwa damu ya kondoo?
Yako kwa Msulubiwa makazi,
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
Chorus
Atakapokuja Bwana-arusi,
Uwe safi kwa damu ya kondoo!
Yafae kwenda mbinguni mavazi,
Yafuliwe kwa damu ya kondoo.
Chorus
Yatupwe yalipo na takataka,
Na uoshwe kwa damu ya kondoo,
Huoni kijito chatiririka,

Na uoshwe kwa damu ya kondoo?

No comments:

Post a Comment

Niwikite Magegania by Sammy Irungu

Tha ciaku itiri mihaka kuona umuthi turi oo muoyo Hinya wa gicoka giaku, niguo utukinyitie haha Ti itheru wi Ebenezer, niwe mutuhei hinya...