Thursday, 8 June 2017

Nimeliguza by Paul Mwai

Nimeliguza vazi lako Eloheenu, nayo maisha yangu ukayabadilisha
Nimekujua Hoseenu, tena kanipa uhai bila kulipa
Mie nitaubeba mzigo wako Rabii, kwa kuwa mzigo wako ni mwepesi sana
Nira yako ni laini wee Masiya, natamani nifanane nawe siku zote

Wewe ndiye Mungu hubadiliki, Rohi Baba yangu nakuabudu
Uaminifu wako hauna kipimo, nayo matendo yako ninayajua

Nilikuwa mtoto sasa mi ni mzee, sijaona siku moja umenitenga
Nisi wanilinda kama mboni lako, hesabu za nywele yangu waielewa

Chorus

Sasa Ebenezar, jibu langu, pumzi uhai wangu tegemeo langu
Huna mwisho wala huna mwanzo Yahweh, natamani nifanane nawe siku zote

No comments:

Post a Comment

Niwikite Magegania by Sammy Irungu

Tha ciaku itiri mihaka kuona umuthi turi oo muoyo Hinya wa gicoka giaku, niguo utukinyitie haha Ti itheru wi Ebenezer, niwe mutuhei hinya...